*Maneno kama -ake, -ako, -angu, -ao na -etu huitwa pia vivumishi vimilikish.
Vivumishi vya kumiliki ni maneno yanayotoa taarifa ya kujulisha umiliki wa nomino. Maneno hayo hujulisha kuwa nomino hiyo iliyotajwa ni mali ya nani.
Developed by Nelliwinne